Skip to main content

amenifanyia aman paul clement

wimbo mpya wa paul clement amenifanyia aman

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA UIMBAJI NA MUZIKI

Uimbaji asili yake ni mbinguni (Eze 28:13-15). Tutakapofika mbinguni tutaendelea kumwimbia Bwana (Ufu 15:2-4; Ufu 5:9-10). Hapa duniani nyimbo na muziki vilianza zamani sana baada ya kuumbwa kwa Adamu na Hawa “…na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba yao wapigao kinubi na filimbi.”(Mwa 4:1-21). UMUHIMU WA KWAYA KATIKA KANISA Kwaya ni kikundi cha watu wanaoimba pamoja(na kupiga vyombo vya muziki). Kwaya ni kiungo muhimu katika Kanisa kinachofanya huduma ya uimbaji. Wapo wanakwaya wenye vipaji vya uimbaji, sauti za kuvutia na uwezo wa kutunga nyimbo mpya. Kanisa ni mwili wa Kristo wenye viungo vingi; na kila kiungo kina kazi. Kiungo hiki (Kwaya) kikitimiza vizuri wajibu wake, Kanisa litahudumiwa (1 Pet 4:10-11). Kwaya ni muhimu ndio maana hata katika Agano la Kale walikuwepo watu maalum waliowekwa kufanya huduma ya uimbaji (1Nya 6:31-32). Maneno ya nyimbo yana nguvu kubwa. Yanaweza kubadili hali ya huzuni kuwa ya furaha na moyo mgumu kuwa laini. Mtu mwenye udhaifu anaweza ku...

"UJUE ULIMWERNGU WA ROHO" na Mwl. Christopher Mwakasege

Ujue Ulimwengu wa roho. Kitabu kipya kilichotoka mwezi huu wakati wa semina ya Dar es salaam. Katika kitabu hiki utajifunza mambo mengi yanayohusu ulimwengu wa roho katika mpangilio wa sura kumi kama ifuatavyo; 1. Kufahamu umuhimu wa kujua uhalisi wa kuwepo kwa ulimwengu wa roho.  2. Kwa njia ya maombi unaweza kuwa mahali kiroho ambapo huwezi kuwa kimwili.  3. Mtu aliumbwa aishi katika maeneo mawili kwa wakati mmoja.  4. Mungu anakukaribisa katika ulimwengu wa roho ushiriki maamuzi pamoja naye kwa njia ya maombi yako.   5. Kufanikiwa kwako katika maombi kunategemea unavyoitunza na unavyoitumia nafasi yako uliyonaayo katika ulimwengu wa roho.  6. Tambua umuhimu wa nafasi unayoitumia unapomwomba Mungu.  7. Chanzo cha mamlaka uliyonayo katika ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.  8. Umuhimu wa kujijua unajulikanaje katika ulimwengu wa Kiroho. 9. Inawezekana Mungu amejibu maombi yako ila yamekwama katika ulimwengu wa roho.  10. Kwa maombi ya...

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI EMMANUEL MGOGO KUFUNGA NDOA TARE 14 KATIKA KANISA LA EAGT IYUNGA MBEYA JUMAMOSI IJAYO

Emmanuel mgogo akiwa na mkewe mtarajiwa              TAZAMA VIDEO YA MSIKILIZE MUNGU YA EMMANUEL MGOGO. STORY,. Mwanamuziki nguli wa mziki wa injili anayetamba na albamu mbalimbali kama vile Ipo wapi njia ile,Msikilize mungu,na Usipotelee mwishoni hatimaye baada ya maisha ya upweke sasa amemsikiliza Mungu na tare 14 november mwaka huu anatarajia kufunga ndoa katika kanisa la eagt iyunga jijini Mbeya  akizungumza na mtandao huu Emmanuel Mgogo amesema mpaka sasa maandalizi yanaendelea vizuri hivyo anamwamini mungu kuwa ataifanikisha