Skip to main content

Posts

Showing posts with the label uinjilist newz

hapo sipo katika kituo chako

ili kupata album hii iliyo jaa utukufu na ujumbe utakao badilisha maisha yako na kuyafanya maisha yako kuwa ya dhamani mbele za mungu na wanadamu nikushauri ndugu usikose album hii coment namba yako tuta kuletea popote ulipo na mungu akubariki                           

makamanda kazini

wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote

wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.  Matendo ya Mitume 2:47 Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.  Wafilipi 4:6 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao. Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu. Mathayo 5:10-12 Heri ninyi watu watakapowachukia, na kuwatenga, na kuwashutumu, na kulitupa nje jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu. Furahiwani siku ile na kuruka-ruka, kwa kuwa, tazama, thawabu yenu ni kubwa mbinguni, maana, baba zao waliwatenda manabii vivyo hivyo.  Luka 6:22, 23 Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nime...

vyombo vya music

kwaya ya uinjilist makorora jumapili ya tarehe 16 mwez wa kumi watakuwa na uzinduzi                                 wa vyombo vya music lengo kuu ni kulitangaza jina la yesu kiristo aliye hai yeye                                       ni yule yule jana leo na hata milile karibu kuungana nao katika uzinduz uo ni                                            katika usharika wa makorora tanga kkkt barikiwa                                                                                         ...