Skip to main content

Posts

hapo sipo katika kituo chako

ili kupata album hii iliyo jaa utukufu na ujumbe utakao badilisha maisha yako na kuyafanya maisha yako kuwa ya dhamani mbele za mungu na wanadamu nikushauri ndugu usikose album hii coment namba yako tuta kuletea popote ulipo na mungu akubariki                           
Recent posts

makamanda kazini

HISTORIA YA UIMBAJI NA MUZIKI

Uimbaji asili yake ni mbinguni (Eze 28:13-15). Tutakapofika mbinguni tutaendelea kumwimbia Bwana (Ufu 15:2-4; Ufu 5:9-10). Hapa duniani nyimbo na muziki vilianza zamani sana baada ya kuumbwa kwa Adamu na Hawa “…na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba yao wapigao kinubi na filimbi.”(Mwa 4:1-21). UMUHIMU WA KWAYA KATIKA KANISA Kwaya ni kikundi cha watu wanaoimba pamoja(na kupiga vyombo vya muziki). Kwaya ni kiungo muhimu katika Kanisa kinachofanya huduma ya uimbaji. Wapo wanakwaya wenye vipaji vya uimbaji, sauti za kuvutia na uwezo wa kutunga nyimbo mpya. Kanisa ni mwili wa Kristo wenye viungo vingi; na kila kiungo kina kazi. Kiungo hiki (Kwaya) kikitimiza vizuri wajibu wake, Kanisa litahudumiwa (1 Pet 4:10-11). Kwaya ni muhimu ndio maana hata katika Agano la Kale walikuwepo watu maalum waliowekwa kufanya huduma ya uimbaji (1Nya 6:31-32). Maneno ya nyimbo yana nguvu kubwa. Yanaweza kubadili hali ya huzuni kuwa ya furaha na moyo mgumu kuwa laini. Mtu mwenye udhaifu anaweza ku...

wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote

wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.  Matendo ya Mitume 2:47 Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.  Wafilipi 4:6 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao. Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu. Mathayo 5:10-12 Heri ninyi watu watakapowachukia, na kuwatenga, na kuwashutumu, na kulitupa nje jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu. Furahiwani siku ile na kuruka-ruka, kwa kuwa, tazama, thawabu yenu ni kubwa mbinguni, maana, baba zao waliwatenda manabii vivyo hivyo.  Luka 6:22, 23 Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nime...

vyombo vya music

kwaya ya uinjilist makorora jumapili ya tarehe 16 mwez wa kumi watakuwa na uzinduzi                                 wa vyombo vya music lengo kuu ni kulitangaza jina la yesu kiristo aliye hai yeye                                       ni yule yule jana leo na hata milile karibu kuungana nao katika uzinduz uo ni                                            katika usharika wa makorora tanga kkkt barikiwa                                                                                         ...

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI EMMANUEL MGOGO KUFUNGA NDOA TARE 14 KATIKA KANISA LA EAGT IYUNGA MBEYA JUMAMOSI IJAYO

Emmanuel mgogo akiwa na mkewe mtarajiwa              TAZAMA VIDEO YA MSIKILIZE MUNGU YA EMMANUEL MGOGO. STORY,. Mwanamuziki nguli wa mziki wa injili anayetamba na albamu mbalimbali kama vile Ipo wapi njia ile,Msikilize mungu,na Usipotelee mwishoni hatimaye baada ya maisha ya upweke sasa amemsikiliza Mungu na tare 14 november mwaka huu anatarajia kufunga ndoa katika kanisa la eagt iyunga jijini Mbeya  akizungumza na mtandao huu Emmanuel Mgogo amesema mpaka sasa maandalizi yanaendelea vizuri hivyo anamwamini mungu kuwa ataifanikisha 

amenifanyia aman paul clement

wimbo mpya wa paul clement amenifanyia aman